Samahanini!!! Nina dada yangu ana D ya kiswahili D ya Geography na B ya English. Anahitaji chuo kinachohitaji pass 3 na kitoacho course za human resources au procurement n supply
Samahanini!!! Nina dada yangu ana D ya kiswahili D ya Geography na B ya English. Anahitaji chuo kinachohitaji pass 3 na kitoacho course za human resources au procurement n supply
Samahanini!!! Nina dada yangu ana D ya kiswahili D ya Geography na B ya English. Anahitaji chuo kinachohitaji pass 3 na kitoacho course za human resources au procurement n supply
Samahanini!!! Nina dada yangu ana D ya kiswahili D ya Geography na B ya English. Anahitaji chuo kinachohitaji pass 3 na kitoacho course za human resources au procurement n supply
Usiwe na haraka Kamishna wa elimu hajatoa bado sifa elekezi za kujiunga na elimu ya juu kwa waliomaliza form four kutokana na mabadiliko ya grading system vuta subira huenda hizo sifa zikampeleka form five....
Usiwe na haraka Kamishna wa elimu hajatoa bado sifa elekezi za kujiunga na elimu ya juu kwa waliomaliza form four kutokana na mabadiliko ya grading system vuta subira huenda hizo sifa zikampeleka form five....