gentleman92
Member
- Apr 26, 2019
- 17
- 13
siku moja nlikuwa natoka handeni kwenda dar , nikapanda ksk bus ambayo ni luxury kama hiyo yako , wakati imeanza safari , kituo kinachofuata alikuja dada mmoja , mzurii na kajaaliwa nyamaa nyama zilee vijana tunapenda kuitaa msambwandaa ,
aliingia akanisalimiaa kishaa akakaaa kweny siti
tofauti na yeye hakuwa na nyodo na ilikuwa ni mchangamfuu sana
haikukaa mdaa story zilianzaa tukafahamiana
tukawa tunaambiana mishe za biashara maana alikuwa mfanya biashara
nilipomuuliza anaenda dar sehemu gan akanambia anaenda dar mbez kwa kaka akee kwa bahati mbaya simu yakee ilizima chajii
na kwa bahat mbaya zaidi gari ilipopita ilipitia njia ya bagamoyoo
hivyo akaomba simu yangu awasiliane na kaka akee kuwa kapitishwa njia ya bagamoyo ilii ajee kumchukua ubungo mana hata nauli ya kwenda mbezi hana
kwa bahati mbaya tulipokaribia kufika ubungo kaka akee akawa hapatikan hivyoo akaanza kuliaa ataendajee mbezi na nauli hanaa
nilichofanya mimi sikumwambia chochotee zaidi ya kumuuuliza kwa nini unatembea bila helaa ili hali ww ni mtoto wa kikee
, nikamtania nitamsindikiza mpk mbezi kwa miguu ili mradi kumfariji tyuuu
tulipofika ubungo yeye ndo akawa wa kwanza nikashangaa amesimama chini ananisubiria
niliposhuka nkamuuliza sa utafanyajee , akasema mi sijui , nikamtania twende kwangu basi akaitika sawaa tyuuu
moyon nkasita kidogoo nkamwambia twendee wakat twatembeaa siunajua vijana wa mjin wanavyofagilia msambwanda
mbinjaaa na kelelee zilitawalaaaa kutokana na maumbile ya yule dada
wakat tunaondoka nkaenda moja kwa moja kweny magari yaendayo morogoro nikamfata kondo mmoja nkamwambia huyu dada anaenda mbez kwa bahat mbaya gari alopanda halijapitia mbezi limepitia bagamoyo naomba umsaidie umfikishe mbez
yulee konda akakataaa
nikaenda gari lingine nikamuelezea yulee kondaa akakubalii
ila kimoyo moyo nkasema huyuu dada kama kafanya hivyo ili kutapeli nimpe hela imekula kwakee simpi helaa
nikamlipiaa nauli nkamwambia haya safarii njema
wakat anaondoka akanambia kaka naomba namba zako kama nkifika salama nitakujulisha
nikamwandikia kweny karatasi akaondoka zakee
huvyo basi nikaa miezii na mpk nkasahau
siku moja nkapata missd cal
nkauliza ww nani akanijibu mm mamu yule tulikutana wote kwenye garii
basi chatng zilianzaa tukazoeana
bt finally alianza kunishukuruu sana kaka ahsantee sana kwa msaada wako sijawahi kuona kaka mweny busara kama wewe
sikutegemeaa msaada ulionipaaa
na wala hukudhamiria ni mbaya na mm
nkamjibu usijali binadamu ninkusaidiana maana hujui nani atakusaidiaa maisha ya badaee
basi tukaendelea kuchat, siku mojaa wakat tunachat alinambiaa yan unajuaa ilee siku kaka angu wala sio kuwa sikua na nauliii nlikuwa nayoo sana tuu
ila nlitaka nikuonee utanisaidiajee
maana nyie wavulana mna tamaa sana , mwngn angetaka ukalale nae kwanza ila ww ulinisaidia kwenda nyumbani
kusema kwel me nilikupenda toka siku ilee kaka,
snaomba tafuta siku tuonaneee basi ilienda hivyoo kwa mdaa mrefu, ilifikia sehemu hadi anataka kunitumia nauli nimfatee kwaoo handeni , siku mojaa nkamwambia niko handeni ila sina pa kulala akanambia chukua gest nakuja kulipaaa
nlikaaa katafakarii sana hata kama ni upendo kuonana huko mtu aje nilalee nae, nliwazaa sanaaa nikawaza na maisha yaa dar
mwisho wa siku nkamwambia nlilala kwa rafiki angu wa kiumee
alilalamikaa sanaa mpk kuchukiaa
hatukutafutana tenaaaaaaaaaa
na ukawa mwisho wa urafiki na mawasilianoo baina yetuu
aliingia akanisalimiaa kishaa akakaaa kweny siti
tofauti na yeye hakuwa na nyodo na ilikuwa ni mchangamfuu sana
haikukaa mdaa story zilianzaa tukafahamiana
tukawa tunaambiana mishe za biashara maana alikuwa mfanya biashara
nilipomuuliza anaenda dar sehemu gan akanambia anaenda dar mbez kwa kaka akee kwa bahati mbaya simu yakee ilizima chajii
na kwa bahat mbaya zaidi gari ilipopita ilipitia njia ya bagamoyoo
hivyo akaomba simu yangu awasiliane na kaka akee kuwa kapitishwa njia ya bagamoyo ilii ajee kumchukua ubungo mana hata nauli ya kwenda mbezi hana
kwa bahati mbaya tulipokaribia kufika ubungo kaka akee akawa hapatikan hivyoo akaanza kuliaa ataendajee mbezi na nauli hanaa
nilichofanya mimi sikumwambia chochotee zaidi ya kumuuuliza kwa nini unatembea bila helaa ili hali ww ni mtoto wa kikee
, nikamtania nitamsindikiza mpk mbezi kwa miguu ili mradi kumfariji tyuuu
tulipofika ubungo yeye ndo akawa wa kwanza nikashangaa amesimama chini ananisubiria
niliposhuka nkamuuliza sa utafanyajee , akasema mi sijui , nikamtania twende kwangu basi akaitika sawaa tyuuu
moyon nkasita kidogoo nkamwambia twendee wakat twatembeaa siunajua vijana wa mjin wanavyofagilia msambwanda
mbinjaaa na kelelee zilitawalaaaa kutokana na maumbile ya yule dada
wakat tunaondoka nkaenda moja kwa moja kweny magari yaendayo morogoro nikamfata kondo mmoja nkamwambia huyu dada anaenda mbez kwa bahat mbaya gari alopanda halijapitia mbezi limepitia bagamoyo naomba umsaidie umfikishe mbez
yulee konda akakataaa
nikaenda gari lingine nikamuelezea yulee kondaa akakubalii
ila kimoyo moyo nkasema huyuu dada kama kafanya hivyo ili kutapeli nimpe hela imekula kwakee simpi helaa
nikamlipiaa nauli nkamwambia haya safarii njema
wakat anaondoka akanambia kaka naomba namba zako kama nkifika salama nitakujulisha
nikamwandikia kweny karatasi akaondoka zakee
huvyo basi nikaa miezii na mpk nkasahau
siku moja nkapata missd cal
nkauliza ww nani akanijibu mm mamu yule tulikutana wote kwenye garii
basi chatng zilianzaa tukazoeana
bt finally alianza kunishukuruu sana kaka ahsantee sana kwa msaada wako sijawahi kuona kaka mweny busara kama wewe
sikutegemeaa msaada ulionipaaa
na wala hukudhamiria ni mbaya na mm
nkamjibu usijali binadamu ninkusaidiana maana hujui nani atakusaidiaa maisha ya badaee
basi tukaendelea kuchat, siku mojaa wakat tunachat alinambiaa yan unajuaa ilee siku kaka angu wala sio kuwa sikua na nauliii nlikuwa nayoo sana tuu
ila nlitaka nikuonee utanisaidiajee
maana nyie wavulana mna tamaa sana , mwngn angetaka ukalale nae kwanza ila ww ulinisaidia kwenda nyumbani
kusema kwel me nilikupenda toka siku ilee kaka,
snaomba tafuta siku tuonaneee basi ilienda hivyoo kwa mdaa mrefu, ilifikia sehemu hadi anataka kunitumia nauli nimfatee kwaoo handeni , siku mojaa nkamwambia niko handeni ila sina pa kulala akanambia chukua gest nakuja kulipaaa
nlikaaa katafakarii sana hata kama ni upendo kuonana huko mtu aje nilalee nae, nliwazaa sanaaa nikawaza na maisha yaa dar
mwisho wa siku nkamwambia nlilala kwa rafiki angu wa kiumee
alilalamikaa sanaa mpk kuchukiaa
hatukutafutana tenaaaaaaaaaa
na ukawa mwisho wa urafiki na mawasilianoo baina yetuu