DullyM
Member
- Mar 24, 2011
- 72
- 18
Habari wakuu,
kama kichwa cha habari kinavyoeleza. naombeni kama kuna mafundi wanajulikana wa kuchimba shimo la choo.
1.) site ipo kigamboni
2) kazi inahitajika kufanyika mwezi wa kwanza
3) uwezekano wa kuweka kambi upo.
kutoka kwa fundi.
1) ulete kazi ulizofanya kwa njia ya kuweka picha za ufundi uliofanyika
2) ufafanue bei za vifaa vitakavyohitajika na gharama zake
3) uweke bei ya kufanya kazi (yaani mshahara wako)
4) utoe muda utakaotumika kukamilisha zoezi hili
5) weka namba za simu. (hii usiweke kama hujakamilisha yaliyotajwa hapo juu.
6) maswali na majibu yote ni hapa hadharani tu. private message ni pale tu nitakapoamua tunafanya kazi na wewe.
7) napenda kutanguliza shukrani za dhati na kuwatakia shughuli njema.
kama kichwa cha habari kinavyoeleza. naombeni kama kuna mafundi wanajulikana wa kuchimba shimo la choo.
1.) site ipo kigamboni
2) kazi inahitajika kufanyika mwezi wa kwanza
3) uwezekano wa kuweka kambi upo.
kutoka kwa fundi.
1) ulete kazi ulizofanya kwa njia ya kuweka picha za ufundi uliofanyika
2) ufafanue bei za vifaa vitakavyohitajika na gharama zake
3) uweke bei ya kufanya kazi (yaani mshahara wako)
4) utoe muda utakaotumika kukamilisha zoezi hili
5) weka namba za simu. (hii usiweke kama hujakamilisha yaliyotajwa hapo juu.
6) maswali na majibu yote ni hapa hadharani tu. private message ni pale tu nitakapoamua tunafanya kazi na wewe.
7) napenda kutanguliza shukrani za dhati na kuwatakia shughuli njema.