yahayabaidu
Member
- Nov 1, 2014
- 17
- 5
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu, tatizo langu ni jinsi ya kuandika research gap katika literature review. Je! naandikaje?
Usimwogope mwalimu wako. Mwombe akuelekeze. Si kitu cha kukisema kwa sentensi tatu, nne, tano.