Msaada ualimu cheti>>>chuo kikuu

Msaada ualimu cheti>>>chuo kikuu

mbalazo docta

Member
Joined
Aug 7, 2017
Posts
44
Reaction score
22
Nimemaliza kidato cha sita nikapata ESS nikaapply cheti ualimu (grade A)
Je ntafika chuo kikuu kwa njia gani ??
Nifahamisheni Tafadhali
 
Nimemaliza kidato cha sita nikapata ESS nikaapply cheti ualimu (grade A)
Je ntafika chuo kikuu kwa njia gani ??
Nifahamisheni Tafadhali
Ukimaliza cheti mwaka mmoja ,unajiunga na diploma ambayo ni miaka miwili na baada ya kumaliza diploma vizuri unaweza kuendelea na masomo ya shahada chuo kikuu.
 
Ukimaliza cheti mwaka mmoja ,unajiunga na diploma ambayo ni miaka miwili na baada ya kumaliza diploma vizuri unaweza kuendelea na masomo ya shahada chuo kikuu.
Hakuna kitu kama hiki kwenye Ualimu.
 
Nenda veta kasome ufundi wa AC za nyumba na magari then hamia dar es salaam utanishukuru baadaye
 
Back
Top Bottom