Inabidi nifuate nyayozoKioo bei kali na havipatikani ikabidi niitunze ninunue ingne
Sisi si malaikaKuna vitu nasomaga humu nabakia hiiii[emoji134][emoji134]
Kweli wanaume wana uelewa wa mambo mengi sana.
Yes nyie sio malaika.Sisi si malaika
komesha korona
Kama imezima ghafla tafadhali iwashe ghafla itawaka na kuendelea na kawaida.Habari za muda huu wakuu, nimepata changamoto kwenye tv yang ya LG smart tv, tangu juzi ilikuwa inawaka na kujizima yenyewe kila baada ya dk 40, nikajarbu kuangalia labda ni setting za timer, lakin setting zote ziko sawa , ikanibid nifanye factory setting.
Lakin jana ndo imezima mazima wala ile taa nyekund ya start haiwak tena , wenye ujuz na uzoefu naomben msaada wenu maana kwa hichi kipind cha lock down bila tv ni changamoto kukaa ndani.
AHSANTENI
View attachment 1441386
Sent using Jamii Forums mobile app
Zamani hizo wakati wanaitwa HITACHI tv zao zilikuwa na internal power stabilizer. Enzi zile za TV ChogoGuard ni kitu separate huwezi kusema ina guard ndani kwa ndani so haihitaji ya nje.
Emaphakadeni
Habari za muda huu wakuu, nimepata changamoto kwenye tv yang ya LG smart tv, tangu juzi ilikuwa inawaka na kujizima yenyewe kila baada ya dk 40, nikajarbu kuangalia labda ni setting za timer, lakin setting zote ziko sawa , ikanibid nifanye factory setting.
Lakin jana ndo imezima mazima wala ile taa nyekund ya start haiwak tena , wenye ujuz na uzoefu naomben msaada wenu maana kwa hichi kipind cha lock down bila tv ni changamoto kukaa ndani.
AHSANTENI
View attachment 1441386
Sent using Jamii Forums mobile app
Bongo nyingi ni za Egypt
Zamani hizo wakati wanaitwa HITACHI tv zao zilikuwa na internal power stabilizer. Enzi zile za TV Chogo
Kwa hiyo niiite nini?Huwezi ita stabilizer, labda kama powersupply yake ina iyo capability.
Emaphakadeni