msaada tutani wadau kuhusu madawa ya mifugo

msaada tutani wadau kuhusu madawa ya mifugo

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
5,164
Reaction score
11,264
habari zenu wadau?

poleni na majukumu
nilikuwa naomba kuuliza mahali panapotolewa kozi ya uuzaji wa madawa ya mifugo

naitaji kujua
gharama zake
sifa za msomaji
na tasisi inayotoa mafunzo

asanteni.
 
Mhhhhh...., sijui unamaanisha nini haswa unaposema KOZI YA UUZAJI WA MADAWA YA MIFUGO, ila ninavojua mimi ni kwamba kwa mujibu wa sheria za chakula na dawa (TFDA act) zinataka mtu yeyote anayeuza dawa awe angalau amepitia mafunzo fulani juu ya madawa hayo anayoyauza, sasa sijui kama kuna kozi maalum (short / long course) ya uuzaji kwa maana ya dispensing ya madawa ya mifugo. Nadhani elimu inayotakiwa ni ama elimu ya mifugo kwa maana ya certificate, diploma au degree, na LABDA ufamasia (ngazi yoyote). kama ninavojua ndiyo sahihi au inakaribia kuwa sahihi basi nitaleta maelezo mengine juu ya maswali yako mengine (sifa, gharama za masomo na taasisi) , wacha kwa sasa tuone wachangiaji wengine wanasemaje
 
Back
Top Bottom