Hapana uko vizuri tu, ila uandishi ndio mbovu mbovuDaah...
Nina kichwa kigumu kuelewa, nimetoka kapa hapo.
Hapana uko vizuri tu, ila uandishi ndio mbovu mbovuDaah...
Nina kichwa kigumu kuelewa, nimetoka kapa hapo.
Ushamba wako tuu hakuna jipya tunafanya kasome biblia kitabu cha wafalme utamkuta mfalme Daudi alikuwa na wake 700 na michepuko 300 ila alikuwa kipenzi cha Mungu, mwanae mfalme Suleimani alikuwa na wake 1000 but still anasadikika kuwa mfalme mwenye busara kuliko wote.Wanaume mna visa sio kidogo
ShindwaaaaUshamba wako tuu hakuna jipya tunafanya kasome biblia kitabu cha wafalme utamkuta mfalme Daudi alikuwa na wake 700 na michepuko 300 ila alikuwa kipenzi cha Mungu, mwanae mfalme Suleimani alikuwa na wake 1000 but still anasadikika kuwa mfalme mwenye busara kuliko wote.
Tuacheni mkome kutusakama...! Aliyetujalia ndiye aliyewanyima..
Basi usisome tuHapana uko vizuri tu, ila uandishi ndio mbovu mbovu
Jina halisi la kipare halina hata chembe ya uzungu wala uarabuHili jina hili.... Mara wengine kuliandika hawawezi.
Abeee?!mmmh money penny wewee,,,,
Kiru! MajangaAliamua tu kukupa hilo jibu. Ni asili tu inatufanya tuone mbili ni bora kuliko moja.
Tafsida imetumika haswaaa maana kuna vitu vinazeeshaMkuu,
"My Friend: yani we acha tu, kuna vitu anafanya mke wangu kuna vitu lazima tutafute msaada tutani, mke hawezi atachoka mapema"
Nahisi hiyo aya ndo imebeba riwaya yote....ila ndo nimeambulia "My Friend" tu.
Tafsida imetumika haswaaa maana kuna vitu vinazeesha
ShukranTafsida imetumika haswaaa maana kuna vitu vinazeesha
Du majangaIngeandikwa hivi, "kuna vitu vinafanywa na mke wangu, ila vingine ni lazima tutafute msaada tutani"
Angeandika hivyo angalau ingekuwa imeeleweka, lakini vile ilivyo, wala si suala la tafsida, ni mparanganyiko wa kiuandishi.
Aaaaah
AbeeeUnaelekea kukubali kuongozwa na akili za mtu mwengine
Nliterewa Ngaenengo!!Mmmh
kasome biblia kitabu cha wafalme utamkuta mfalme Daudi alikuwa na wake 700 na michepuko 300 ila alikuwa kipenzi cha Mungu, mwanae mfalme Suleimani alikuwa na wake 1000 but still anasadikika kuwa mfalme mwenye busara kuliko wote.