Msaada tutani: Mwanaume bora tu achepuke

Money Penny

JF-Expert Member
Jun 20, 2016
15,921
14,820
Msinichoke me ni mwandishi wa Script na Riwaya

Last week nikaitwa na rafkiangu, oh njoo kona baa sinza! Nikagomaa kwanza kona bar kumefungwaaa akaniambia we njooo tutakupa story nyau wee
Basi me nikaenda kufika hamadi, rafkiangu yupi na mchepukooo, namwuliza bro shida iko wapi labda?! Si una mke nyumbani?!

My Friend: yani we acha tu, kuna vitu anafanya mke wangu kuna vitu lazima tutafute msaada tutani, mke hawezi atachoka mapema na nitamzeesha buree

Money Penny: tobaaaa bwana kwaheri me staki kukutwa hapa
Nikaondoka njia nzima nawaza, je hili alilosema linaweza kuwa kweli?!
Je ni bora umwachie mwanaume achepuke tuu wala wanawake tusilalamike?! Lakini kuna magonjwa gadame! Wai, akili ikachokaa

Eti wana JF mnasemaje maana me akili mpaka leo inawaza, yule jamaa huenda alikuwa na sense nikamkimbia

 
  • Thanks
Reactions: CTX
Mkuu,

"My Friend: yani we acha tu, kuna vitu anafanya mke wangu kuna vitu lazima tutafute msaada tutani, mke hawezi atachoka mapema"

Nahisi hiyo aya ndo imebeba riwaya yote....ila ndo nimeambulia "My Friend" tu.
 
Mie ni mwanamke sio mwanamme!!
Oh sorry mami

Mkuu,

"My Friend: yani we acha tu, kuna vitu anafanya mke wangu kuna vitu lazima tutafute msaada tutani, mke hawezi atachoka mapema"

Nahisi hiyo aya ndo imebeba riwaya yote....ila ndo nimeambulia "My Friend" tu.
Du! Kazi ipo. Pole my friend
Ila ukubwa raha sana hata ufungiwe chapati kwenye ndoo ya maji unajua tu somo lina maana gani!

Unaweza kuandika script za x

Naandika ila nikiwa nje ya Africa. Huku kwenu wanazinguaaa
 
Wanaume wanaume wanaume wanaume wanaume wanaume wanaume

Ni shidaaaa ! Jamani khaa mtatuua wakezenu tunahitaji mtulieeeee
 
Kuchepuka kunasababishwa na mambo kadhaa.. Hii ni kwa wote wanaume na wanawake...

1. Nyumba kukosa amani na kujaa karaha na maudhi alafu anatokea mtu anaku treat very well unajikuta unachepa.

2. Ukaribu baina ya mwanamke na mwanaume.. Mazoea hujenga hisia... Mwisho unajikuta unachepuka.

3. Kuchokana kwa kufanya mambo yale yale kila siku au kukosa kile unachotaka kufanyiwa.. Akitokea aliye tayari unachepuka..

4. Kuwa na mtu kwa sababu na pesa au vitu lakini hakuna mapenzi... Unajikuta unachepuka...


5. Mara zingine mtu huchepuka kwa sababu anaweza kuchepuka wala hana hata sababu ya msingi..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom