Msaada TUtani: Jinsi ya kuchakachua EASY TV

Msaada TUtani: Jinsi ya kuchakachua EASY TV

Babb-Babbjrtz

Member
Joined
Feb 13, 2012
Posts
57
Reaction score
7
Wadau kama kuna mtu anajua maujanja ya kuchakachua EASY TV channels tukaweza ona bure naomba atusaidia please
 
Hii inaonyesha jinsi gani Maisha yalivyo Magumu. Halafu watu wanakuja na Ving'amuzi vya 160,000. Kama hii elfu 10 inatushinda je Mia Sitini tutaweza kununua Ving'amuzi!?

Ngoja Niumize KichwA Niende China Nikirudi Bongo Ntakuwa na Software ya Kuchakachua Ving'amuzi vyote. Kufa Kufaana.



Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Hii inaonyesha jinsi gani Maisha yalivyo Magumu. Halafu watu wanakuja na Ving'amuzi vya 160,000. Kama hii elfu 10 inatushinda je Mia Sitini tutaweza kununua Ving'amuzi!?

Ngoja Niumize KichwA Niende China Nikirudi Bongo Ntakuwa na Software ya Kuchakachua Ving'amuzi vyote. Kufa Kufaana.



Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

160k hakuna malpo ya mwezi 10 kwa miaka m3 kiasi gn?
 
Wadau kama kuna mtu anajua maujanja ya kuchakachua EASY TV channels tukaweza ona bure naomba atusaidia please
Jamani si ndio Ufisadi huu? Nadhani watanzania tunatakiwa kuwa na aibu ndio nchi hii itaendelea, if you cannot afford 10000, usiangalie TV! Unadhani wale wanaofanya kazi kule EASy TV walipwaje na kupeleka watoto wao shule na chooni?
Naona Aibu kwa niaba ya watanzania wote wenye mawazo kama haya!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom