Msaada tutani: Bafu langu!

Unapata faida gani kuweka picha inayoonyesha uchafu?

Kumbuka watu tunaotumia app ya JF tunaona hiyo picha hata bila kufungua uzi.

Kuwa mstaarabu jirekebishe.
Kwahiyo ulitaka nidanganye au? JF ndo sehemu pekee tunayothubutu kuongea ukweli hata kama utakuumiza
 
Kuna vitu vingine sie tusharidhika kutovipata....yan bafu ya hapa nyumban iko na foleni na usiombe uchelewe kuamka utakuta hadi makohoz.....mlango ni bati unaegesha ukidondosha sabuni kama mgeni hutoiyokota ama utaanza kuiogesha sabuni kwanza ndio ikuogeshe ila mimi naokotaga mana nihasara mazee
 
Kwahiyo ulitaka nidanganye au? JF ndo sehemu pekee tunayothubutu kuongea ukweli hata kama utakuumiza
Umeweka picha ya choo kichafu ndiyo unaona unasema ukweli?

Picha uliyoweka bila shaka inawakilisha yaliyomo mawazoni mwako.

I don't want to sound rude..but you need to consult your doctor ASAP.
 
Umeweka picha ya choo kichafu ndiyo unaona unasema ukweli?

Picha uliyoweka bila shaka inawakilisha yaliyomo mawazoni mwako.

I don't want to sound rude..but you need to consult your doctor ASAP.
Sekunde moja unasema hutaki kuwa rude...sekunde inayofuata unatoa maneno opposite na hiyo sentensi ya kwanza....i think YOU need to consult your therapist NOW
 
Unapata faida gani kuweka picha inayoonyesha uchafu?

Kumbuka watu tunaotumia app ya JF tunaona hiyo picha hata bila kufungua uzi.

Kuwa mstaarabu jirekebishe.
Mmmh acha uongo wewee
 
Sekunde moja unasema hutaki kuwa rude...sekunde inayofuata unatoa maneno opposite na hiyo sentensi ya kwanza....i think YOU need to consult your therapist NOW
Are you high on drugs or something?

I've offered a piece of advise....it's for you to take it or simply ignore it.
 
Maelezo yako yamenifurahisha ila nimekereka hapo kwenye MWE MWE MWEE...!!Huwa nakereka mtu akiandika ivo
Mweee polee

Ila umenifurahisha hapo uliposema ile harufu nzuri ilikufanya ukatamani mtu aingie humo bafuni hata kwa bahati mbaya aje akushughulikie.
Ahahahaha uraya uraya!

Sekunde moja unasema hutaki kuwa rude...sekunde inayofuata unatoa maneno opposite na hiyo sentensi ya kwanza....i think YOU need to consult your therapist NOW
Ahahaha nimechekaaa.. therapist bongooo?!
 
Ahahahahha nimechweeeka kuliko maelezo
Uuuuwi pole jaman rafiki
 
Kuwa unaona picha hata kama haujaja kwa my thread sio kweli
Siwezi kudanganya

Kama unatumia app ya JF unaweza kuona picha (si picha zote) hata kama hujafungua uzi husika.

Jaribu kupitia sehemu ya NEW POSTS utaona baadhi ya picha zinaonekana kwenye thread mbalimbali
 
Siwezi kudanganya

Kama unatumia app ya JF unaweza kuona picha (si picha zote) hata kama hujafungua uzi husika.

Jaribu kupitia sehemu ya NEW POSTS utaona baadhi ya picha zinaonekana kwenye thread mbalimbali
AYa boss me sijadownload app ya jf ndo maana
 
mje mshamba_hachekwi Cr wa familia
 
Hahahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…