Msaada: Tofauti ya Samsung Galaxy S4 na Feki

Msaada: Tofauti ya Samsung Galaxy S4 na Feki

simoni joseph

Member
Joined
Jul 27, 2015
Posts
26
Reaction score
0
Kuna tofauti gani kati ya galax s4 original na galaxs4 copy naombeni majibu, mimi inanishinda kutofautisha.
 
galax s4 copy ni fake ya galax s4 original,that is all
 
download app inaitwa phone info.. then utairun .itakupa specifications za simu..
then ingia google.. type phone model.. itakuletea results. click matokeo ya gsm arena... THEN FANYA KUCOMPARE SPECS ZA SIMU YAKO ULIZOPATA PHONE INFO NA ZA GSM ARENA....
AU
download app inaitwa GENUINE GALAXY then irun itakwambia kama ni original au fake...
..the first way is the best way.. good luck
 
Tafauti ya kwanza ni quality ya material iliyotumika kutengeneza hizo simu mbili,original imetengenezwa kwa material bora zaidi hata kioo chake kina mngao fulani hivi tafauti na ile kopi ambayo imetengenezwa kwa cheap material.yaan kwa kifupi unaweza kuijua kama ni feki au original bila hata kuiwasha
 
Tafauti ya kwanza ni quality ya material iliyotumika kutengeneza hizo simu mbili,original imetengenezwa kwa material bora zaidi hata kioo chake kina mngao fulani hivi tafauti na ile kopi ambayo imetengenezwa kwa cheap material.yaan kwa kifupi unaweza kuijua kama ni feki au original bila hata kuiwasha

ushawahi kuiona SUPER CLONE mkuu!??..
 
ushawahi kuiona SUPER CLONE mkuu!??..

Nshawahi kuziona kaka ila bado kwa mzoefu lazima utaigundua tu,ila nahisi njia rahisi kwa wananchi wa kawaida ni kutumia zile secret codes ingawa nazo kwakiasi flani huwa zinakubali hata kwenye clones,nkipata nafasi nitapost baadhi ya codes hapa
 
Clone inatumia lcd na flagship za galaxy ni amoled ukiwa makini sana utazijua bila kuziwasha

kaka uko sawa.. ila jaribu kumfikiria mtu mwenye knowledge ya kawaida kuhusu hizo gadgets.. tena ndio kaletewa simu moja.. hana nyingine ya kufanya comparison...
SUGGEST NJIA RAHISI YA KUMFUNGUA MACHO BASI MKUU..
nautambua na kuuheshimu ujuzi wako kuhusu hizi ndude
 
kaka uko sawa.. ila jaribu kumfikiria mtu mwenye knowledge ya kawaida kuhusu hizo gadgets.. tena ndio kaletewa simu moja.. hana nyingine ya kufanya comparison...
SUGGEST NJIA RAHISI YA KUMFUNGUA MACHO BASI MKUU..
nautambua na kuuheshimu ujuzi wako kuhusu hizi ndude

Nakubaliana na wewe kaka, hata mimi ningejibu kama ulivyojibu wewe mtu wa kawaida hata hajui amoled na lcd ni nini.

Ila kwa mtu anaefahamu ni rahisi kuzijua.
 
hizo screenshot za apps za genuine galaxy na phome info.. baada ya kuzirun kwenye kimeo changu
 

Attachments

  • 1439571628619.jpg
    1439571628619.jpg
    46.7 KB · Views: 145
  • 1439571655966.jpg
    1439571655966.jpg
    33.2 KB · Views: 122
  • 1439571673377.jpg
    1439571673377.jpg
    30.5 KB · Views: 125
Back
Top Bottom