Msaada: Tiba ya Vipere

Msaada: Tiba ya Vipere

Keyboard_Warrior

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2015
Posts
6,098
Reaction score
10,449
Habari wanaJF?

Mtoto wangu ana umri wa mwaka mmoja na miezi 6, anasumbuliwa sana na Vipere. Nishampeleka sana hospitali, lakini dawa zote anazipewa hazimsaidii, akitumia dawa Vipere vinapotea kwa muda mfupi lakini baada ya muda mfupi vinarudi tena.

IMG_20230821_173909_462.jpg
IMG_20230821_173925_989.jpg
 
Pia Wahaya wapo vizuri kwenye madawa ya asili jaribu kutafuta mtu wahuko kama anaeza kufanyia mpango!
 
Back
Top Bottom