audaxtoxic
Member
- Jun 18, 2013
- 50
- 7
Ndg wanajf simu yng aina ya Tecno P5
ninapopiga simu, call haiend na ninapotuma sms
pia haziend.
Pia nisipogusa(touch) kioo kama nilikuwa
naitumia inapoteza mwanga(inasleep) lkn
inaendelea kufanya kaz kama n sms zinaingia au
col, lkn cwez kuzsoma maana ninapotouch
haikubali mpaka nitoe betri niwashe tena.
Naomba msaada kwa mwenye uelewa wa tatzo
na suluhu yake.
ninapopiga simu, call haiend na ninapotuma sms
pia haziend.
Pia nisipogusa(touch) kioo kama nilikuwa
naitumia inapoteza mwanga(inasleep) lkn
inaendelea kufanya kaz kama n sms zinaingia au
col, lkn cwez kuzsoma maana ninapotouch
haikubali mpaka nitoe betri niwashe tena.
Naomba msaada kwa mwenye uelewa wa tatzo
na suluhu yake.