Msaada tecno p5

Msaada tecno p5

audaxtoxic

Member
Joined
Jun 18, 2013
Posts
50
Reaction score
7
Ndg wanajf simu yng aina ya Tecno P5
ninapopiga simu, call haiend na ninapotuma sms
pia haziend.
Pia nisipogusa(touch) kioo kama nilikuwa
naitumia inapoteza mwanga(inasleep) lkn
inaendelea kufanya kaz kama n sms zinaingia au
col, lkn cwez kuzsoma maana ninapotouch
haikubali mpaka nitoe betri niwashe tena.
Naomba msaada kwa mwenye uelewa wa tatzo
na suluhu yake.
 
Jaribu kuifanyia hard reset, ila utafuta kila kutu na simu itaanza upya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom