buko Member Joined Jan 1, 2012 Posts 52 Reaction score 16 Apr 18, 2018 #1 Naombeni mnisaidie hii simu yangu techno L8 baadhi ya mitandao ya kijamii inagoma kama vile whatsap,facebook msaada pls
Naombeni mnisaidie hii simu yangu techno L8 baadhi ya mitandao ya kijamii inagoma kama vile whatsap,facebook msaada pls
N nobodylikedme JF-Expert Member Joined Apr 5, 2018 Posts 741 Reaction score 769 Apr 19, 2018 #2 Kiukweli hii simu ni mateso! Itabidi kununua L8 plus labda ina unafuu. Fanya kui restart au izime kabisa kwa muda halafu uiwashe, ikishindikana kufanya kui root
Kiukweli hii simu ni mateso! Itabidi kununua L8 plus labda ina unafuu. Fanya kui restart au izime kabisa kwa muda halafu uiwashe, ikishindikana kufanya kui root