Msaada Tecno h6

Kabelwa

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
678
Reaction score
196
Wadau niliroot simu yangu sasa ninataka kuiludisha katika hali yake ya kawaida nitumie njia gani! Ni Tecno h6.
 
unroot kwa hio hio app, nadhani kuna option hio kaka
 
Hiyo option siioni ya Ku unroot
 
Cheki hizo screen shoot hiyo ya kwanza hapo juu hili upate menu bonyeza hapo juu kulia kwako kwenye vidot vitatu kisha endelea na hatua zingine kama unavyoona kwenye screen shoot
 
Nimesha unstall hiyo kingroot sasa tatizo linakuja nikitaka kufanya hard reset inagoma
 
Ilishawahi kunikuta iyo.. Mie kwangu hard reset ilikubar.. Ila apps zote za google ziligoma kufanya kazi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ