kuku mweus
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 765
- 604
Hata mda huu nimepigaWe simu huwa unapiga mda gn
Be seriousTatizo wewe dogo ni kuku mweusi!
Njia ipi tenaBy the way....wakikwambia wasiliana na TCU hawamaanishi kwa njia ya cm pekee
Ongea shida yako mimi niko TCU huduma kwa wateja unataka niniWakuu nilibahatika kuomba vyuo vitatu ila mungu kasaidia jina langu limekuja kwenye multiple nimepata Iringa university pamoja na SAUT mwanza Ila cha kushangaza mpaka Leo tarehe 6 cjapata confirmation code nikipiga cm TCU hawapokei vyuo husika wanasema niwasiliane na TCU msaada ndugu zangu hata Wa mawazo nifanyeje ili niweze saidiwa
Cjapata confirmation codeOngea shida yako mimi niko TCU huduma kwa wateja unataka nini
Saa tunafanyaje mkuuSiyo wewe tu,kuna vijana wengi tu mpaka Leo hawajui hatma yao,akiwemo mean an go
Daaa yaani ngachoka kabisaWrite your reply...daah kuku mweusi Ata mimi kisanga bro Hawa tcu mungu anawaona
Hawajatoa maelekezo yoyote mkuuKwa udsm wamepewa maelezo hayo, jinsi ya kupata code. Kwenye profile yako wanakuambia niniView attachment 858647
Naona kitu ile inaitwa PILOTING (Majaribio) ni tatizo kwetu (TCU, NACTE, NECTA, Vyuo) yaani mtu anakuja na mfumo mpya bila kuufanyia majaribio ya kutosha, na hasa shinikizo linapotoka kwa wakubwa inabidi bora liende. Kumbukeni JPM ndiye alie agiza vijana wachague chuo na course moja kwa moja ili wapate wanachokipenda na sio "kupangiwa" na TCU - na TCU kwao ilibakia utekelezaji, MULTIPLE SELECTION zikatesa sana vijana kwenye ku-konfem, mikopo na course (wapo wengi tu mambo yalipokaa vibaya walijipachika tu ili wasikose vyuo. Mwaka huu tena MULTIPLE SELECTION mwiba. Mwaka huu ni MULTIPLE SELECTION na mdogo wake CONFIRMATION CODES (kuzipata na kuuzingiiza imekuwa shida).Tanzania hatujawahi kujiandaa na mifumo mipya ya kiutendaji kazi... Huwa tunakurupuka tu na kuifanyia majaribio kwenye vitu vya maana na vya msingi... Rejea... Award Verification Number(AVN) Kutoka NACTE ni uozo mtupu hakuna cha maana wanachofanya
Huuu ni upuzi TCU wanao ufanyaNaona kitu ile inaitwa PILOTING (Majaribio) ni tatizo kwetu (TCU, NACTE, NECTA, Vyuo) yaani mtu anakuja na mfumo mpya bila kuufanyia majaribio ya kutosha, na hasa shinikizo linapotoka kwa wakubwa inabidi bora liende. Kumbukeni JPM ndiye alie agiza vijana wachague chuo na course moja kwa moja ili wapate wanachokipenda na sio "kupangiwa" na TCU - na TCU kwao ilibakia utekelezaji, MULTIPLE SELECTION zikatesa sana vijana kwenye ku-konfem, mikopo na course (wapo wengi tu mambo yalipokaa vibaya walijipachika tu ili wasikose vyuo. Mwaka huu tena MULTIPLE SELECTION mwiba. Mwaka huu ni MULTIPLE SELECTION na mdogo wake CONFIRMATION CODES (kuzipata na kuuzingiiza imekuwa shida).
Tunawasema admission desks lakini nina hakika na wao cha moto wanakiona, kwani kila chuo kinajitahidi kupata wanafunzi issue ni je wana watu wa kutosha na technolojia inayojitosheleza. Sidhani.