Msaada: Tatizo la computer kula MB sana

Msaada: Tatizo la computer kula MB sana

Finder

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2016
Posts
378
Reaction score
424
Habarini ndugu wataalamu, naombeni misaada wenu kutatua hii changamoto ya computer kula sana MB, yaan ndani ya dakika 5, unakuta umetumia 500MB, na hapo hujadownload kitu chochote.

Hii inasababishwa na nini na je inawezekana kutatuliwa.

Msaada wenu tafadhali.
 
Kuna app zinarun background so restor laptop yako kama huzijui au gugu jinsi ya kuzifunga
 
Habarini ndugu wataalamu, naombeni misaada wenu kutatua hii changamoto ya computer kula sana MB, yaan ndani ya dakika 5, unakuta umetumia 500MB, na hapo hujadownload kitu chochote.

Hii inasababishwa na nini na je inawezekana kutatuliwa.

Msaada wenu tafadhali.
Itakuwa inajiupdate funga updates au ifanye network iwe limited
 
-Zuia automatic updates
-uninstall unused apps(nenda kwenye control panel remove masoftware ambayo hutumii mara kwa mara)
-
 
Habarini ndugu wataalamu, naombeni misaada wenu kutatua hii changamoto ya computer kula sana MB, yaan ndani ya dakika 5, unakuta umetumia 500MB, na hapo hujadownload kitu chochote.

Hii inasababishwa na nini na je inawezekana kutatuliwa.

Msaada wenu tafadhali.
Kompyuta huwa haili MB na haijwahi kula MB hata siku moja. Kuna service moja TU maarufu inayoweza kula MB zako, unapokuwa umeiweka ON au inapokuwa iko ON pasipo wewe kujua, nayo inaitwa AUTO-UPDATE. Still, nina shaka kama AUTO-UPDATE inaweza kuwa inakula MARA KWA MARA 1/2GB nzima and in just 5 minutes. Perhaps you have got to think out of a box; something might be wrong somewhere!
 
Back
Top Bottom