Msaada tafsiri ya hii ndoto

Ushirombo

JF-Expert Member
Jan 22, 2013
3,557
2,692
Mi mwanaume,nimeota nina mimba,hyo mimba imejipachka kwenye mkono wa kushoto mbele ya kiwiko,nikawa nimelazwa hospital, nikawa nimepata uchungu wa kuzaa,eti nikiuning'iniza mkono pale kitandan ile mimba inakua inashuka kuelekea vidolen,huku manesi wanasema sukuma, vidole vikawa vipo kama vimejaa maji.

Yaan mfano, mtu ukiungua moto ngozi inavyojaaga maji, manesi wakisema sukuma mi naona mimba inashuka, ilipokaribia vidolen manesi wakaanza kuvaa gloves, nikashtuka.

Naombeni tafsiri
 
Sio kila ndoto inahitaji tafsir.
Hv we umeota2 unamimba ujaota imeingiaje iyo mimba?
 
mi mwanaume,nimeota nina mimba,hyo mimba imejipachka kwenye mkono wa kushoto mbele ya kiwiko,nikawa nimelazwa hospital,nikawa nimepata uchungu wa kuzaa,eti nikiuning'iniza mkono pale kitandan ile mimba inakua inashuka kuelekea vidolen,huku manesi wanasema sukuma,vidole vikawa vipo kama vimejaa maji yaan mf.mtu ukiungua moto ngoz inavyojaaga maji,manesi wakisema sukuma mi naona mimba inashuka,ilipokaribia vidolen maneshp wakaanza kuvaa gloves,nikash2ka.naombeni tafsiri
unaonywa kutojihusisha na mapenzi kiholela unaweza kupata tatizo kwenye hayo mapenzi. kuwa makini na mahusiano yako kwa sasa waweza pata gonjwa baya au mpenzi jini.
 
Nimeangalia kwa umakini nimegundua. Kuwa, hiyo ndoto unamaanisha Kati ya watu wachache watakaonda Marekani mwaka huu kutokana Na mwaliko wa Obama basi wewe Ni mmoja wao, pili utapata uraia kabisa wa huko
 
Nimeangalia kwa umakini nimegundua. Kuwa, hiyo ndoto unamaanisha Kati ya watu wachache watakaonda Marekani mwaka huu kutokana Na mwaliko wa Obama basi wewe Ni mmoja wao, pili utapata uraia kabisa wa huko
Kwaiy unamaanixha jamaa sio rizki au
 
Mimba maana yake ni uovu. Omba rehema kwa Mungu.( kwa ww mwanaume angekua mwanamke ningemjibu vingine)
 
Back
Top Bottom