cheusimangala_ Senior Member Dec 1, 2018 114 174 Jul 3, 2019 #1 Napika chapati za maji na saizi nimejaza maji katika sufuria yapo motoni yanachemka naomba niambie nini kinafuata!
Napika chapati za maji na saizi nimejaza maji katika sufuria yapo motoni yanachemka naomba niambie nini kinafuata!
STRUGGLE MAN JF-Expert Member May 31, 2018 8,638 16,568 Jul 3, 2019 #2 Usisahau na mayai, yanaleta ladha nzuri
Baba Swalehe JF-Expert Member Jun 6, 2017 19,527 37,943 Jul 4, 2019 #3 Huwa tamu sana ukiweka na nyanya Usisahau nyanya mkuu Chapati za nyanya ni amsha sana
Beeb JF-Expert Member Aug 18, 2018 29,402 58,951 Jul 4, 2019 #4 Weka unga wa dona..usisahau kuweka ukwaju na manjano
Vituka JF-Expert Member Nov 9, 2011 2,257 1,247 Jul 6, 2019 #5 Tumbukiza ngogwe kwenye maji yanayochemka cheusimangala_ said: Napika chapati za maji na saizi nimejaza maji katika sufuria yapo motoni yanachemka naomba niambie nini kinafuata! Click to expand...
Tumbukiza ngogwe kwenye maji yanayochemka cheusimangala_ said: Napika chapati za maji na saizi nimejaza maji katika sufuria yapo motoni yanachemka naomba niambie nini kinafuata! Click to expand...
hamismzalendo Member Jul 28, 2015 8 2 Jul 10, 2019 #6 cheusimangala_ said: Napika chapati za maji na saizi nimejaza maji katika sufuria yapo motoni yanachemka naomba niambie nini kinafuata! Click to expand... ww pika tu hayo hayo maji yakikauka ndo chapati zenyewe
cheusimangala_ said: Napika chapati za maji na saizi nimejaza maji katika sufuria yapo motoni yanachemka naomba niambie nini kinafuata! Click to expand... ww pika tu hayo hayo maji yakikauka ndo chapati zenyewe
Kilawakati JF-Expert Member Apr 4, 2019 328 285 Jul 10, 2019 #8 cheusimangala_ said: Napika chapati za maji na saizi nimejaza maji katika sufuria yapo motoni yanachemka naomba niambie nini kinafuata! Click to expand... OK simple Weka Kijiko Kimoja cha Majani Ya Chai, Biliani vijiko viwili, ndimu Ya Unga Usisahau Na Bamia teketeke.
cheusimangala_ said: Napika chapati za maji na saizi nimejaza maji katika sufuria yapo motoni yanachemka naomba niambie nini kinafuata! Click to expand... OK simple Weka Kijiko Kimoja cha Majani Ya Chai, Biliani vijiko viwili, ndimu Ya Unga Usisahau Na Bamia teketeke.
Internal JF-Expert Member Feb 23, 2017 3,575 3,894 Jul 10, 2019 #9 Chukua kende gonga gonga zikishalegea tumbukiza kwenye hyo maji, hakikisha zimechemka vizuri.
vallentino86 JF-Expert Member Jan 4, 2014 532 211 Jul 19, 2019 #10 jaman nahitaj msaada ili nieze kueka thread yang ya kuelekezwa jambo, samahan kwa kuingilia topic