Toa hiyo free app uloweka... kuna apps umeweka ndio zinafanya hivyo. Au zilipie kabisa hizo apps ili kuondoa pop up adsNawezaje kuzuia pop ups ads kwenye sim yangu.? Yaani unakuta nikitoa password litangazo linatokea kinawakati napiga sim tangazo linatokea nakereka mno. Aina ya sim Ni galaxy A5