MSAADA TAFADHARI

MSAADA TAFADHARI

msuyaeric

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2014
Posts
862
Reaction score
1,249
Naomba mnisaidie.. nina modem ya Huawei inatumia tigo 173u-1 sasa nimejalibu ku unlock imekataa.. basi naomba mnisaidie kama kuna app katika PC inaweza kuditect modem kutumia line tofauti wakati naitaji kuitumia coz tigo sio kabisa yaan... Asante
 
Naomba mnisaidie.. nina modem ya Huawei inatumia tigo 173u-1 sasa nimejalibu ku unlock imekataa.. basi naomba mnisaidie kama kuna app katika PC inaweza kuditect modem kutumia line tofauti wakati naitaji kuitumia coz tigo sio kabisa yaan... Asante
hiyo waweza ku-unlock temporary au permanent.. njia ya temporary hua una detect port kwa kutumia huawei unlocker, njia ya permanent ni process kidogo inabidi uwe na firmware ya ku-unlock, ufanye backup, flash then una restore
 
Back
Top Bottom