Msaada tafadhari...

manem

Member
Joined
Jul 4, 2016
Posts
88
Reaction score
55
Wakuu, Nimechaguliwa kujiunga na chuo cha ADEM bagamoyo kwa level ya diploma, naomben msaada kwa yeyote aliyechaguliwa hapo na ameshapata Join instruction au namba ya simu ya wahusika ili tufanye utaratibu wa kuipata. Msaada wenu ni wa thaman sana katika kulifanikisha hili...Asante.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…