habari wakuu.
nina simu ya nokia lumia 521 ambayo imekuwa locked kutumika kwa line za T MOBILE na ningependa kufahamu kama naweza kupata namna ya kuifungua iweze kutumia line zote kwa sababu ninapoiwasha na line nyingine inaomba niweke unlock code.
habari wakuu.
nina simu ya nokia lumia 521 ambayo imekuwa locked kutumika kwa line za T MOBILE na ningependa kufahamu kama naweza kupata namna ya kuifungua iweze kutumia line zote kwa sababu ninapoiwasha na line nyingine inaomba niweke unlock code.