Mkuuu nahitaj hizi kitu kama 15 kwa ajili ya kufundishia vijana wangu napataje....
Unataka ya wizi au used/mtumba?Msaada tafadhari ntapata wapi hii pinde na mishale yakisasaView attachment 2153241
Inapatikana wap? MKUU
Yoyote tu,kwa matumizi ya ulinzi binafsi,maana changamoto za kumiliki bunduki zinanishinda,au basi isijekuwa nazo zinalipiwa kodi kola mwaka,leseni,wadhamini,mtendaji kata,balaza lausalama mkoa!! Ehuu nachoka kwakweliUnataka ya wizi au used/mtumba?
hahahahaleseni,wadhamini,mtendaji kata,balaza lausalama mkoa!