Design Your Idea Member Joined Jun 3, 2024 Posts 69 Reaction score 220 Aug 12, 2026 #1 Nasikia maumivu kama yale ya kukata upande wa kulia wa wa juu karibia na mbavu Najisikia tumbo kufura Nikila kidogo najisikia tumbo kujaa Choo napata vizuri Inaweza kuwa shida gani?
Nasikia maumivu kama yale ya kukata upande wa kulia wa wa juu karibia na mbavu Najisikia tumbo kufura Nikila kidogo najisikia tumbo kujaa Choo napata vizuri Inaweza kuwa shida gani?
Isanga family JF-Expert Member Joined Feb 25, 2015 Posts 21,785 Reaction score 44,651 Aug 12, 2026 #2 Matibabu ya Tumbo wanachukua sample ya choo ndio unatibiwa mazee baada ya kusubiri tiba kutoka hapa anza muda huu kukimbilia sehemu ya karibu utakayopata tiba bora....
Matibabu ya Tumbo wanachukua sample ya choo ndio unatibiwa mazee baada ya kusubiri tiba kutoka hapa anza muda huu kukimbilia sehemu ya karibu utakayopata tiba bora....