Msaada Tafadhali

Wernery G Kapinga

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2012
Posts
381
Reaction score
131
Hello wana JF...

Natumai mnamaliza mwaka vizuri.. Karibu 2019.

Mimi leo naomba mnisaidie namna ninavyoweza kupata mfadhili wa kunisaidia kufungua mradi wangu wa Elimu kwa kujenga shule. Nina ekari 20 Ludewa hapa.

Sasa wanasema vijana tujishughulishe. Mimi nimepambana na nimepata ekari 20. Ni sehemu zuri ambapo huduma zingine Kama umeme na maji ni rahisi kufikia. Naomba mnipe mbinu namna ya kumpata mfadhili.

Asanteni wataalamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…