MSAADA TAFADHALI

MSAADA TAFADHALI

frank nyalu

Member
Joined
Aug 17, 2016
Posts
20
Reaction score
10
Naomba kupewa ufafanuzi kuhusu kozi hiz Mediacal Officer na Clinical Officer. kozi ipi inafuture mzuri kwa maana unaweza kuanza nayo kwa ngazi ya diploma mpanga ngazi ya juu zaid, kazi za kila mmoja,na vigezo vya kusoma hizi kozi, kwa watu ambao hatukusoma physics ila tulisoma Engineering science je tunaruhusiwa.Tafadhali nisaidien
 
Back
Top Bottom