Msaada Tafadhali setting nipate net kwene Android yangu

kimugina

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
1,142
Reaction score
577
Habari wakuu,
Naomba kuelekezwa namna ya kufanya setting ilinipate kutumia Internet kwene Android yangu,Model yake ni SB-708,

Nimejaribu kucopy APN za tecno inafungua ndio lakini ipo slow sana sana, Msaada tafadhali
 
Kaka android ni OS sio jina la simu
.
Na unaposema SB-708
nikama mtu aka kwambia N97
.
lakini ni NOKIA N97
hebu tuambie aina ya simu mana inaweza ikawa haina 3G we ukaona ipo slow kumbe ndo hali halisi
.
 
sawa kaka nimekuelewa,
jina nyuma imeandikwa Straw berry,na kuhusu 3G nikienda kwenye Mobile network setting ,kuna sehem Inaniambia 3G dongle Enable nikiipa tiki haikubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…