Kaka android ni OS sio jina la simu
.
Na unaposema SB-708
nikama mtu aka kwambia N97
.
lakini ni NOKIA N97
hebu tuambie aina ya simu mana inaweza ikawa haina 3G we ukaona ipo slow kumbe ndo hali halisi
.
sawa kaka nimekuelewa,
jina nyuma imeandikwa Straw berry,na kuhusu 3G nikienda kwenye Mobile network setting ,kuna sehem Inaniambia 3G dongle Enable nikiipa tiki haikubali