Nkwenzulu ipo soweto mkuu ni mbali na stand kuuNenda Nkwenzulu
New Millennium miaka zaidi ya 10 nyuma, chumba ilikuwa 16,000 saizi itakuwa shingapi? Na bajeti ya mleta post anasema 10-15K.New Millennium, mlango wa kuingilia angalia upande wa pili wa barabara
Usiende kabisa Uyole,lodge ya 20,000/= hovyo,masuala ya usafi zero! Sasa kwa hiyo ya 10 au 15 sijui itakiwaje.bora millennium Inn pale stand iko poa.achana na huko wee njoo uyole maana huko watoto wa matola na mabatini watakupiga nondo
Hawajabadili bei ila bado mazingira yako vizuri kuliko eneo lolote jirani na stand na kama pamejaa unapelekwa Mabatini.New Millennium miaka zaidi ya 10 nyuma, chumba ilikuwa 16,000 saizi itakuwa shingapi? Na bajeti ya mleta post anasema 10-15K.
Mkuu upo wap na waenda lini?Kwa waishio mbeya, Naomba kufahamu Lodge nzuri ya sh 10,000 hadi 15,000 hapo Mbeya jijini, jirani na stendi kuu. Ahsanteni
Mkuu upo wap na waenda lini?
Upo wapi na waenda Lini?, Kiusalama si maswali ya kujibiwa.
Upo wapi na waenda Lini?, Kiusalama si maswali ya kujibiwa.
Mwezi uliopita mie nililala pale huduma ni nzuri tu vyumba vipo kuanzia 20,000/= na kuendeleaNew Millennium miaka zaidi ya 10 nyuma, chumba ilikuwa 16,000 saizi itakuwa shingapi? Na bajeti ya mleta post anasema 10-15K.
ongeza bajeti ulale sehemu nzuri..acha ubahili mkuu
Kuna mdau kasema imefikia 20K, ni muda mrefu sana sijalala lodge za around stand, kwanza enzi hizo sikujua kama ile lodge ina bei nafuu hivyo, nilikuwa nalala Mtambo, Katumba, Eden, au Matamba, siku moja nikajilipua New Millenium, nilijilaumu kwa nini sikupafahamu mapema.Hawajabadili bei ila bado mazingira yako vizuri kuliko eneo lolote jirani na stand na kama pamejaa unapelekwa Mabatini.
Kuna md
Kuna mdau kasema imefikia 20K, ni muda mrefu sana sijalala lodge za around stand, kwanza enzi hizo sikujua kama ile lodge ina bei nafuu hivyo, nilikuwa nalala Mtambo, Katumba, Eden, au Matamba, siku moja nikajilipua New Millenium, nilijilaumu kwa nini sikupafahamu mapema.