Msaada tafadhali kwenye Nokia yangu 6730c.

Msaada tafadhali kwenye Nokia yangu 6730c.

Nicas Mtei

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2010
Posts
11,556
Reaction score
7,106
6730c.jpg


siku chache zilizopita mpaka leo simu yangu imekuwa ikileta tatizo la kuishiwa na space kwenye memory card bila kuweka kitu. Yani unaweza kui free ikawa na MB 100 but mda mwngne inaisha hadi kufikia kwenye kbs.. pia imefuta folders kadhaa zenye picha na nyimbo pasipo mimi kufahamu.

Ni tatizo ambalo pia linasababisha vitu vingine vihfadhiwe kwenye memory ya simu{ambayo nayo sio kubwa}.

Natumia Netqin anti virus na Netqin mobile guard. Nimefanya virus scanning kwenye memory card na simu bt haijawah kukamata virusi.. Nimeshndwa kufahamu chanzo cha hlo tatizo.

Naombeni msaada wenu. Natanguliza shukrani.
 
Seems like a computer virus. Beware na pc unazochomeka. The best ni kuformat kutumia simu yenyewe. Though ni kama vimejificha, havijapotea kabisa. Btw simu yako ni nzuri.
 
memory ya simu lazima iwe free ili applications zipate free space ya kuexpand,futa message kama zipo nyingi,toa applications ambazo hazina umuhimu.pia unaweza reset kwa kutumia *#7780# na *#7370# kureset au kuformat,.
 
Back
Top Bottom