Msaada surface window rt

kinabhi

Member
Joined
Feb 3, 2015
Posts
18
Reaction score
8
Habari wakuu!

Ninapotaka kuingiza progam yeyote inanitaka niende Katika store nitafute na kuinstall kutoka huko.
Je! Kuna namna ya kufanya ili niinstlall bila kupitia market store?

Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…