K kinabhi Member Joined Feb 3, 2015 Posts 18 Reaction score 8 Jul 16, 2015 #1 Habari wakuu! Ninapotaka kuingiza progam yeyote inanitaka niende Katika store nitafute na kuinstall kutoka huko. Je! Kuna namna ya kufanya ili niinstlall bila kupitia market store? Asante
Habari wakuu! Ninapotaka kuingiza progam yeyote inanitaka niende Katika store nitafute na kuinstall kutoka huko. Je! Kuna namna ya kufanya ili niinstlall bila kupitia market store? Asante
Chief-Mkwawa Platinum Member Joined May 25, 2011 Posts 32,062 Reaction score 43,478 Jul 16, 2015 #2 Hio imefanywa hivyo makusudi ulitakiwa ulijue hilo kabla hujanunua. Surface rt zinatumia processor za arm ambazo Ni sawa na za simu hivyo haiwezi kurun x86 program Unatakiwa uwe na surface pro yoyote au surface 3 kurun x86 programs. Kuna hack ilifanywa na dev mmoja xda icheki, alifanikiwa kurun apps chache za x86 kwenye rt [Beta] Win86emu: Running x86 apps on WinRT d⦠| Windows 8, RT Development and Hacking | XDA Forums
Hio imefanywa hivyo makusudi ulitakiwa ulijue hilo kabla hujanunua. Surface rt zinatumia processor za arm ambazo Ni sawa na za simu hivyo haiwezi kurun x86 program Unatakiwa uwe na surface pro yoyote au surface 3 kurun x86 programs. Kuna hack ilifanywa na dev mmoja xda icheki, alifanikiwa kurun apps chache za x86 kwenye rt [Beta] Win86emu: Running x86 apps on WinRT d⦠| Windows 8, RT Development and Hacking | XDA Forums
K kinabhi Member Joined Feb 3, 2015 Posts 18 Reaction score 8 Jul 16, 2015 Thread starter #3 Chief-Mkwawa said: Hio imefanywa hivyo makusudi ulitakiwa ulijue hilo kabla hujanunua. Surface rt zinatumia processor za arm ambazo Ni sawa na za simu hivyo haiwezi kurun x86 program Unatakiwa uwe na surface pro yoyote au surface 3 kurun x86 programs. Kuna hack ilifanywa na dev mmoja xda icheki, alifanikiwa kurun apps chache za x86 kwenye rt [Beta] Win86emu: Running x86 apps on WinRT d… | Windows 8, RT Development and Hacking | XDA Forums Click to expand... Asante mkuu
Chief-Mkwawa said: Hio imefanywa hivyo makusudi ulitakiwa ulijue hilo kabla hujanunua. Surface rt zinatumia processor za arm ambazo Ni sawa na za simu hivyo haiwezi kurun x86 program Unatakiwa uwe na surface pro yoyote au surface 3 kurun x86 programs. Kuna hack ilifanywa na dev mmoja xda icheki, alifanikiwa kurun apps chache za x86 kwenye rt [Beta] Win86emu: Running x86 apps on WinRT d… | Windows 8, RT Development and Hacking | XDA Forums Click to expand... Asante mkuu