Habari ndugu zangu,iv majuz nimeanguka na pikipiki ikaharibika vibaya mno,nimetafuta kila kona spear zake ambazo ni bumper za pembeni pamoja na show ya mbele inayoshika taa bt nimekosa,nimeenda mpaka uganda sijafanikiwa kupata pamoja na shockup za mbele ,kwa yoyote anaejua wapi zinauzwa au wapi naweza kuagiza basi anisaidie cz nipo ktk wakati mgumu ndugu zanguni,popote ntakuja kuchukua,asanten ,mawasiliano yangu ni 0756664797