Jamani wana jamii forum tusaidieni mliopo mjini soko la mbaazi huku kwetu Manyara bei imegoma na muda wa kuanza kilimo umekaribia hatuna namna mbaazi ndiyo mkombozi wetu. mwaka jana kampuni ya Bakhresa walikuwa wananunua lakini mwaka huu hatuwaoni. mwenye kujua soko la mbaazi atujulishe.
Poleni sana ndugu zangu! Ila msikate tamaa! Serikali kupitia wizara ya Kilimo/ viwanda Na biashara wanapaswa kuwa Na utaratibu wa kuwatafutia wakulima masoko ya nje ya nchi kisha wawaunganishe ili mpate kuuza Kwa urahisi, kwani ile sera ya Kilimo kwanza imesha tekelezeka Kwa kiasi cha kutosha? Ila inategemea maana naona swala la stakabadhi ghalani limeleta mtihani mkubwa Kwa wakulima! Na vizuizi kibao
kuna rafiki yangu anafanya hii biashara anachukulia mikoa ya kusini na kuuza hapa dar, kama jana anasema kauza kwa 1,200 kwa kilo sikuongea nae sana sbb sio area yangu
Jamani wana jamii forum tusaidieni mliopo mjini soko la mbaazi huku kwetu Manyara bei imegoma na muda wa kuanza kilimo umekaribia hatuna namna mbaazi ndiyo mkombozi wetu. mwaka jana kampuni ya Bakhresa walikuwa wananunua lakini mwaka huu hatuwaoni. mwenye kujua soko la mbaazi atujulishe.
Jamani wana jamii forum tusaidieni mliopo mjini soko la mbaazi huku kwetu Manyara bei imegoma na muda wa kuanza kilimo umekaribia hatuna namna mbaazi ndiyo mkombozi wetu. mwaka jana kampuni ya Bakhresa walikuwa wananunua lakini mwaka huu hatuwaoni. mwenye kujua soko la mbaazi atujulishe.
Wakulima tumem-miss JK, hasa mwaka wake wa mwisho. Mwaka jana kilo ya mbaazi ilfika sh 2,500 shambani. Mwaka huu ni sh 700-900 vijijini. Tumebaki kuumia kwenye vibanda vyetu,hakuna sehemu ya ventilation
Jamani wana jamii forum tusaidieni mliopo mjini soko la mbaazi huku kwetu Manyara bei imegoma na muda wa kuanza kilimo umekaribia hatuna namna mbaazi ndiyo mkombozi wetu. mwaka jana kampuni ya Bakhresa walikuwa wananunua lakini mwaka huu hatuwaoni. mwenye kujua soko la mbaazi atujulishe.
Jamani wana jamii forum tusaidieni mliopo mjini soko la mbaazi huku kwetu Manyara bei imegoma na muda wa kuanza kilimo umekaribia hatuna namna mbaazi ndiyo mkombozi wetu. mwaka jana kampuni ya Bakhresa walikuwa wananunua lakini mwaka huu hatuwaoni. mwenye kujua soko la mbaazi atujulishe.