Hallo Tech Gurus,
Mimi hata Html sijui ndio naanza leo kujifunza nimeelekezwa website ya tutorial.
Ila lengo langu nikijua niishie kwenye app ya simu ya android.
Naombeni wajuzi mnipe njia ya kupita kwa mtu aneanza kabisa.
Na je ipo hiyo sofware inapatikana vipi kama ipo
Natanguliza shukrani.
Mimi hata Html sijui ndio naanza leo kujifunza nimeelekezwa website ya tutorial.
Ila lengo langu nikijua niishie kwenye app ya simu ya android.
Naombeni wajuzi mnipe njia ya kupita kwa mtu aneanza kabisa.
Na je ipo hiyo sofware inapatikana vipi kama ipo
Natanguliza shukrani.