Kanunue huawei y 330
Asee me kwa hiyo laki mbili skushauri utafte simu labda uongezee ili uchukue simu ya maana, jitahidi angalau kilo 3 na nusu
Mie nimempa hzo options kutoka na bei yake bro...
Yeah kiujumla Samsung galaxy star plus ni nzuri coz nimeshaiona na kuna rafki yangu anaitumia so kwa simu za Samsung haina shida ila angalia isiwe fake coz mchina katoa copy nyingi, cha kukushauri hakikisha ni original na kuijua kua hii simu ni original au laa kwa Samsung click *#0*# afu ok itakuletea sensor kama ukisogezea mkono inasense itakua ni original na colours pia uangalie
Nokia X2-Android
Inauzwa 252,000
Any nokia x series
is not pure android phone.. It lack many android features..., nimetumia
nokia x, xl na x2 duu... Niliuza zote nkarudi kwa p6 maana tatu
sana..
Mim nin Tecno phamtom, inwvumilia chaj sana