STERLING2014
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 239
- 74
Naomba kupata ushauri na msaada kama naweza pata smart tv ya bajeti ya laki 5.5.... Inch 32
TCL mkuu unaipata kwa around 525KNaomba kupata ushauri na msaada kama naweza pata smart tv ya bajeti ya laki 5.5.... Inch 32
King'amuzi gani kipo ndani???TCL mkuu unaipata kwa around 525K
Sifa ni hizi
Ni smart
Ina kingamuzi ndani
Naomba kupata ushauri na msaada kama naweza pata smart tv ya bajeti ya laki 5.5.... Inch 32
Kasema laki 5.5Chukua Skyworth tv Mkuu Mimi nilichukua smart 40 inch kwa 700,000/- mlimani city lkn siku moja nilipita kkoo nikaiona kama ile ile inauzwa laki 6 na nusu kwa hiyo kwa inc 32 inaweza kuwa chini ya 650 nakushauri uchukue brand hii ni nzuri sana hutajuta
DVB-T2King'amuzi gani kipo ndani???
Mkuu tv hzo za tcl napata wapi kwa bei iyo.... Nijuze mkuu.... Nipo Moro hapa... Nataka niende nayo mkoaniTCL mkuu unaipata kwa around 525K
Sifa ni hizi
Ni smart
Ina kingamuzi ndani
Chukua hisense ndio habari ya mjini nduguNaomba kupata ushauri na msaada kama naweza pata smart tv ya bajeti ya laki 5.5.... Inch 32
Ni kweli Mkuu .kamwe hatufanani na pia penda kununua kitu kutokana na uhitaji wako .Huenda wewe kweli unakipato ila je features zote zilizomo kwenye hizo tv unazitumia kiufasa au mnaishia kuangalia Tbc .Maisha tunatofautiana watu tunazungumzia SAMSUNG QOLED na LG QOLED watu mnazungumzia takataka kama Hisense, Boss, Skyworth, n.k
Nipe Specification za iyo tv na unijuze nitapata wapi mkuuChukua hisense ndio habari ya mjini ndugu
Kwa hio pesa unaweza pata model mbalimbali na bado ikakufaa TuNipe Specification za iyo tv na unijuze nitapata wapi mkuu
Mcheki Mkuu Abdalawahid huyu atakusaidia Hadi kukufikishia mlango IKwa hio pesa unaweza pata model mbalimbali na bado ikakufaa Tu
Mbaya zaidi unaizungumzia ya shemeji yako,msukuru sana dada yako mkuu!Maisha tunatofautiana watu tunazungumzia SAMSUNG QOLED na LG QOLED watu mnazungumzia takataka kama Hisense, Boss, Skyworth, n.k
😂 😂 😂 😂 😂Mbaya zaidi unaizungumzia ya shemeji yako,msukuru sana dada yako mkuu!
Mambo vp mkuu, ulifanikisha kuipata?Chukua hisense ndio habari ya mjini ndugu
Nasubiri mzigo haujafika ila utafika Tu Niko nachingwea mie si jnajua siku kuu hizi hivi yako ilikua na bracket yakeMambo vp mkuu, ulifanikisha kuipata?
Moro tu hapo, panda gari nenda Dar kama Moro umezikosaMkuu tv hzo za tcl napata wapi kwa bei iyo.... Nijuze mkuu.... Nipo Moro hapa... Nataka niende nayo mkoani
Shemeji? We Kima unafikiri kila mtu anaishi maisha uliyoishi wewe shemeji yako anavaa kitaulo halafu anakuaga kwenda kumkaza Dada yako? Mimi siyo level yako dogoMbaya zaidi unaizungumzia ya shemeji yako,msukuru sana dada yako mkuu!
Asante sana mkuu kwa maelekezo hayo.... Ngoja niyafanyie kzMoro tu hapo, panda gari nenda Dar kama Moro umezikosa
Nauli ya kwenda na kurudi ni 14,000/=
Piwa wanaweza kukutumia lakini gharama za usafirishaji zinaweza kuwa kubwa mpaka mara mbili ya hiyo nauli ya to and fro
Kuna Jamaa wanajiita jadenhome store wako Maeneo ya Mwananyamala karibu na Collubas hotel au unaweza wacheki instragram kwa jina hilohilo