kijana wa leo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 3,069
- 7,508
Haki ya nani huyu ana majini.
Majini mahaba.Majini gani?
Kwani na wewe ulikuwa na tatizo kama la huyo binti kabla?
Muangalie anapojukunyata anafanya nini... nawe mfanye hivyo hivyo...
Ameathurika na nyeto huyo mkuu...kaz naye mbali
Muulize vizuri yeye atakuelekeza namna ya wewe kumaliza tatizo lake
Musterbation (punyeto) kwa wanaume na fingerings kwa wanawake inasababisha hiyo hali. Ukizoea kufanya hivi vitu ndio kama hivi kwa demu wa mleta mada
Haki ya nani huyu ana majini.
Jitahidi kufanya ili kumridhisha zaidi yeye! Chezea kinembe tangu mwanzo wa game mpaka mwisho wakati huo uwe unamwambia akihisi hisia kali akukumbatie kwa nguvu i swear atafika mwenyewe tena haraka na kukuacha hujafika
Anajua kupika?
La muhimu ni kukaa naye chini na kuongea ndio utapata jibu sahihi na njia ya kuweza kumsaidia
Kazoea self-service huyo mpenzio...lakini Hata ww unatatizo,"kijana wa leo" inaonesha upo kileo leo sana chips yai,mayai yenyewe yaso baba lazima aone una zingua na huna technicals za kutosha
Hahahahahahah chipsi situmiii mkuuu mi dona,samaki, na mboga za majani
Poleeeee,,,
Miaka 30,Nimecheka sana comment ya mtu flani lol.......... Naomba nikuulize age yako mtoa mada tafadhali kama huto jali?
Nadhani tatizo ni mayarisho na nini anapenda umfanyie wakati ule kwa wanaume ni rahisi kufunguka sio sawa na wanawake inabidi ufanye kazi ya ziada au inawezakua unafanya kazi ya ziada wakati ulitakiwa utumie dakika 10 wewe unatumia 25 na still bado huja kidhi haja, pata mda muafaka mulize mpenzi wako nini anafurahia au wapi umshike ili ajisikie...
OkMuulize vizuri yeye atakuelekeza namna ya wewe kumaliza tatizo lake
Vyama tena? kivipi fafanua kidogo.Haya ndio madhara ya kushabikia chadema.
Kwani mkuu walioko CCM ndio huwa wanawafikisha mademu zao kileleni?Haya ndio madhara ya kushabikia chadema.