Msaada: Simuelewi mpenzi wangu

kijana wa leo

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2011
Posts
3,069
Reaction score
7,508
Habarini wadau,

Kama kichwa cha habari kinavojieleza, nimekuwa na mpenzi wangu kwa mahusiano ya kimapenzi kwa muda wa miaka miwili sasa, ila tatizo lake ni pale tunapokuwa tunakutana kimwili huwa anaonesha anapata hisia ila hafiki kileleni hata kama nitafanya kwa muda mrefu kiasi gani ila nikimaliza ananisukuma pembeni anajikunyata hadi anafika kileleni akiwa peke yake.

Sasa sielewi kama ni hali ya kawaida au kuna tatizo hapo, ila muda wote wa tendo anakua yupo wet.

Karibuni kwa ushauri/maoni.
 
Muangalie anapojukunyata anafanya nini... nawe mfanye hivyo hivyo...
 
Ameathurika na nyeto huyo mkuu...kaz naye mbali
 
Muulize vizuri yeye atakuelekeza namna ya wewe kumaliza tatizo lake
 
Musterbation (punyeto) kwa wanaume na fingerings kwa wanawake inasababisha hiyo hali. Ukizoea kufanya hivi vitu ndio kama hivi kwa demu wa mleta mada
 
Jitahidi kufanya ili kumridhisha zaidi yeye! Chezea kinembe tangu mwanzo wa game mpaka mwisho wakati huo uwe unamwambia akihisi hisia kali akukumbatie kwa nguvu i swear atafika mwenyewe tena haraka na kukuacha hujafika
 
La muhimu ni kukaa naye chini na kuongea ndio utapata jibu sahihi na njia ya kuweza kumsaidia
 
Kazoea self-service huyo mpenzio...lakini Hata ww unatatizo,"kijana wa leo" inaonesha upo kileo leo sana chips yai,mayai yenyewe yaso baba lazima aone una zingua na huna technicals za kutosha

Poleeeee,,,
 
Nimecheka sana comment ya mtu flani lol.......... Naomba nikuulize age yako mtoa mada tafadhali kama huto jali?
Nadhani tatizo ni matayarisho na nini anapenda umfanyie wakati ule kwa wanaume ni rahisi kufunguka sio sawa na wanawake inabidi ufanye kazi ya ziada au inawezakua unafanya kazi ya ziada wakati ulitakiwa utumie dakika 10 wewe unatumia 25 na still bado huja kidhi haja, pata mda muafaka mulize mpenzi wako nini anafurahia au wapi umshike ili ajisikie...
 
Muulize vizuri yeye atakuelekeza namna ya wewe kumaliza tatizo lake

Thank you mkuu tamuuliza.

Musterbation (punyeto) kwa wanaume na fingerings kwa wanawake inasababisha hiyo hali. Ukizoea kufanya hivi vitu ndio kama hivi kwa demu wa mleta mada

Inawezekana mkuu.

Haki ya nani huyu ana majini.

Hahahaahhaahaha, hana mkuu.

Jitahidi kufanya ili kumridhisha zaidi yeye! Chezea kinembe tangu mwanzo wa game mpaka mwisho wakati huo uwe unamwambia akihisi hisia kali akukumbatie kwa nguvu i swear atafika mwenyewe tena haraka na kukuacha hujafika

Well said mkuu, nikifanya ivo anafika kileleni

Anajua kupika?

Ndio, mtaalamu sana wa mapishi.

La muhimu ni kukaa naye chini na kuongea ndio utapata jibu sahihi na njia ya kuweza kumsaidia

True


Asante

Miaka 30,
Muulize vizuri yeye atakuelekeza namna ya wewe kumaliza tatizo lake
Ok
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…