habari wakuu naomben msaada kwa yeyote atakae weza nisaidia. Ni wiki ya 3 sasa simu yangu haipokei simu zote zinazoingia (ukinipigia utaambiwa simu inatumika) muda wote na cha kushangaza blacklist ipo empty namba zinazoingia naziona kwenye received calls. na mm nkipiga hakuna tatizo lingine. nifanyaje hapa, naomben msaada zaidi hapa jukwaan