Msaada simu yxtel (android g928)

Emhegele

Senior Member
Joined
Jul 21, 2013
Posts
122
Reaction score
6
habari wakuu naomben msaada kwa yeyote atakae weza nisaidia. Ni wiki ya 3 sasa simu yangu haipokei simu zote zinazoingia (ukinipigia utaambiwa simu inatumika) muda wote na cha kushangaza blacklist ipo empty namba zinazoingia naziona kwenye received calls. na mm nkipiga hakuna tatizo lingine. nifanyaje hapa, naomben msaada zaidi hapa jukwaan
 

Weka option zinasomeka pale kwenye call setting mkuu tukupe msaada!
 
Weka option zinasomeka pale kwenye call setting mkuu tukupe msaada!

ahsante mkuu options zilizopo ni;-
1. SIM 1
2. SIM 2
3. IP DIALING
4. VIBRATION

Ndan ya either SIM 1/2 kuna submenu
1. Fixed Dialing Number
2. Voicemail Setting
3. Fast Call Setting
4. Reply Message Hangup
5. others
5.1 Call forwarding
5.2 Call barring setting
5.3 Addition Calls
 
kaka kama ukipigiwa hakupati mtu hio ni call baring nenda hio 5.2 ieke off
 

Angalia hiyo yenye red.

Kama default password umeweka imegoma, jaribu kuwasiliana na huduma kwa wateja mtandao unaotumia kuna namba utaambiwa uzibonyeze, binafsi nimezisahau...
 
Angalia hiyo yenye red.

Kama default password umeweka imegoma, jaribu kuwasiliana na huduma kwa wateja mtandao unaotumia kuna namba utaambiwa uzibonyeze, binafsi nimezisahau...
ahsante mkuu hebu nilishughulikie
 
Msaada jinzi ya kuzipata default call barring password
 
AHSANTE WAKUU NI WIKI 2 SASA NAFURAHIA, SIMU YANGU IMERUDI KATIKA HALI YAKE SASA. NI BAADA KUIFANYIA 'Factory Data Reset' nashukuru sana wanajukwaa kwa msaada na ushirikiano wenu mliouonesha :A S 101:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…