Msaada simu inakula pesa salio bila kutumia kitu

Msaada simu inakula pesa salio bila kutumia kitu

bajun

Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
44
Reaction score
7
Habari zenu wakuu,naombeni maujanja yakutoa hii kitu packet data connection internet nimejaribu nimeshindwa,simu yangu nokia e5
 
Itakulaje bila kuingia intanet?hata kama iko connected kama haungii inakulaje?
 
situmii intanet yaan naweza nikaiacha kama muda hivi ukiangalia salio limekula kidogo
 
Huwenda ikawa automatic maana huwa najaribu kuitoa kwa kubonyeza sehemu ya kuzimia au kuwashia simu inaandika hivi End packet data conection intanet?nikibonyeza yes inaondoka kuna kialama kwa upande wakulia juu kinaondoka alaf haipiti dk kinarudi tena,sijui niende wapi kuiondoa hii update
 
Hiyo inakuwa hujazima 3g kwa hiyo inakuwa conected kwenye net
 
Utakuwa ume-divate au mtu amefanya hivyo kama line nyingine haipatikani inaita kwenye namba nyingine na mtu akipiga salio lako ndo linaliwa so cancel all divet alafu uone ikiendelea sasa wasiliana na huduma kwa wateja ila nao siku hizi kupatikana ni issue.
 
mkuu kuna application inatumia hio network na hio app umeieka mwenyewe inaweza kua whatsapp, app ya email au client yoyote. nenda app manager kaitoe au unga bundle kila siku ili isile salio. kama sio mtumiaji sana wa internet bundle ya 2000 kwa mwezi inatosha
 
mkuu kuna application inatumia hio network na hio app umeieka mwenyewe inaweza kua whatsapp, app ya email au client yoyote. nenda app manager kaitoe au unga bundle kila siku ili isile salio. kama sio mtumiaji sana wa internet bundle ya 2000 kwa mwezi inatosha

nntajaribu hivyo, nashkuru nikifanikiwa nitarudi
 
mkuu kuna application inatumia hio network na hio app umeieka mwenyewe inaweza kua whatsapp, app ya email au client yoyote. nenda app manager kaitoe au unga bundle kila siku ili isile salio. kama sio mtumiaji sana wa internet bundle ya 2000 kwa mwezi inatosha

nntajaribu hivyo, nashkuru nikifanikiwa nitarudi
 
kama n nokia jarib kufanya seting restore, il ufte seting zote
 
Habari zenu wakuu,naombeni maujanja yakutoa hii kitu packet data connection internet nimejaribu nimeshindwa,simu yangu nokia e5

Njia hizo zote ulizopewa zikishindikana jaribu
kuinstall Netqin mobile guard, kuna option ya ku stop program zinazo ji autostart na kuconect
internet kama whatsup na email clients!!
 
Njia hizo zote ulizopewa zikishindikana jaribu
kuinstall Netqin mobile guard, kuna option ya ku stop program zinazo ji autostart na kuconect
internet kama whatsup na email clients!!

Poa mkuu nntajaribu maana ilibidi nibadili simu nitumi kitoch kwa muda
 
Kama ni androidphone set. Update manual.not automatic.af smartphone zina hitaji kifurushi kikubwa cha internet kama cha mwez mzima kwakua mda wote ina syc data na acounts.contact zako.vinginevyo uwe makini na setings za connection za data unapoweka pesa
 
Menu-setting-wireless network-mobile network weka off
Bila hivyo utakula hasara kila siku
 
Back
Top Bottom