Msaada: Simu imejiweka mistari

Nina simu yangu huawei niliangusha Jana usiku nmeamka hasubui mzma sasa saiv ghafla imejiweka mistar tatzo ni nin?na je itapona?
huawei aina gani km ni michirizi kioo ni kibovu hapo ni kubadilsha touch na kioo
 
Kama anaeeza kutouch bas touch itakuwa haijahathirika nahis niyo ni display ndo imekufa gharama nahis sina uhakika uandae si chin ya 30 elfu na si zaid ya 45 elf kwa aina ya simu yako asante
 
Kama anaeeza kutouch bas touch itakuwa haijahathirika nahis niyo ni display ndo imekufa gharama nahis sina uhakika uandae si chin ya 30 elfu na si zaid ya 45 elf kwa aina ya simu yako asante
Asante kuitach anaweza ndio sema tu INA ukungu ukungu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…