mbalaka
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 2,241
- 2,622
Wataalam wa it naomba msaada.
Nimetumiwa simu mpya (Samsung)na rafiki yangu aliyeko Pretoria.
Huyu bidada kanunua hizi simu mbili kwa mtu tu mtaani.
Ila katika maelezo yake nikagundua jambo moja hizi simu zimepigwa kule kwenye maandamano (Soweto ama J'burg)
Simu ni mpya na accessories zake. Moja kabaki nayo nyingine kanitumia.
Simu hazijawai funguliwa hata kidogo.
Sasa nauliza kwa usalama wangu na yule bidada Wenye mali wanaweza kuzidukua nikakamatwa?.
Inawezekana kuwa tracked simu ambayo haijawai kuwa installed sim card?.
Msaada wenu tafadhali.
Nimetumiwa simu mpya (Samsung)na rafiki yangu aliyeko Pretoria.
Huyu bidada kanunua hizi simu mbili kwa mtu tu mtaani.
Ila katika maelezo yake nikagundua jambo moja hizi simu zimepigwa kule kwenye maandamano (Soweto ama J'burg)
Simu ni mpya na accessories zake. Moja kabaki nayo nyingine kanitumia.
Simu hazijawai funguliwa hata kidogo.
Sasa nauliza kwa usalama wangu na yule bidada Wenye mali wanaweza kuzidukua nikakamatwa?.
Inawezekana kuwa tracked simu ambayo haijawai kuwa installed sim card?.
Msaada wenu tafadhali.