MSAADA SIM YANGU INASUMBUA

MSAADA SIM YANGU INASUMBUA

ngasha

Senior Member
Joined
Jul 9, 2016
Posts
145
Reaction score
74
Jamanii we naamini JF apa wamejaa wataalam wa mambo mbali mbali yakiwemo Hays ya sim
Nikwamba sim yangu imekua ikinisumbua kuna baadhi ya apps has a za porno ( ) zimekuwa ziki ji-instal kila ninapo washa data na inakuwa inaganda ganda adi inakera pia matangazo ya app mbali mbali yanatokeza kwenye screen nikiwasha data

Msaada kwa anaejua sulihisho la tatizo hill tafadhari
 
umatumia simu gani? ya mediatek? hao ni malware, utahitaji kuwatoa na pc na box. mi nimewahi kuwatoa na crack ya miracle box.
 
umatumia simu gani? ya mediatek? hao ni malware, utahitaji kuwatoa na pc na box. mi nimewahi kuwatoa na crack ya miracle box.
Hizo nazipataje kwa kudownload au adi kwenye PC?
 
you have been awarded a trophy😎
 
Back
Top Bottom