jembelamkono
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 2,733
- 2,016
Habari wanajamvi,nimepata ziara ya kikazi kwenda Moshi mjini.
Naomba kufahamishwa sehemu nzuri kwa ajili ya malazi(budget tsh 25-50),pia sehemu nzuri kwa kujirusha (night life),pia sehemu nzuri kwa vyakula.
Ahsanteni.
Naomba kufahamishwa sehemu nzuri kwa ajili ya malazi(budget tsh 25-50),pia sehemu nzuri kwa kujirusha (night life),pia sehemu nzuri kwa vyakula.
Ahsanteni.

