Habari wana jamvi.. Simu yangu ni Samsung galaxy note2 . nataka kuitumia kama modem katika computer cha ajabu inaniletea "mobile data is not available or invalid SIM" hiyo invalid somu inakuja vipi wakati simcard inasoma vizuri na data zinapanda na kushuka.. Naomba msaada tatizo ni nini CHIEF MKWAWA
Samsung Korea - Samsung SGH-I317 - If phone model is different from what you have, replace your phone before June 2016 as it will be BLOCKED... Hayo ndo majibu ya TCRA baada ya kuweka imei 353800050467980/11
Samsung Korea - Samsung SGH-I317 - If phone model is different from what you have, replace your phone before June 2016 as it will be BLOCKED... Hayo ndo majibu ya TCRA baada ya kuweka imei 353800050467980/11
wenzetu huko nje wana tabia ya kublock tethering huenda hio ni sababu kwa kuanzia nenda playstore download app inaitwa hotspot control ya chainfire uone kama itasolve.
wenzetu huko nje wana tabia ya kublock tethering huenda hio ni sababu kwa kuanzia nenda playstore download app inaitwa hotspot control ya chainfire uone kama itasolve.