josephjul40
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 218
- 40
Jamani naombeni msaada, nina receiver /decoder ya azam tv, iliacha kuonyesha picha kwenye tv yaani hakuna chochote katika tv hata ile no signal hakuna lakini yenyewe inawaka, mafundi huku nzega wanadai ic ya picha imeungua na hawana ujuzi wa kurekebisha. Ni wapi nitapata mafundi wa kunirekebishia plz 0787414707