Msaada receiver/decoder ya azam tv

Msaada receiver/decoder ya azam tv

josephjul40

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
218
Reaction score
40
Jamani naombeni msaada, nina receiver /decoder ya azam tv, iliacha kuonyesha picha kwenye tv yaani hakuna chochote katika tv hata ile no signal hakuna lakini yenyewe inawaka, mafundi huku nzega wanadai ic ya picha imeungua na hawana ujuzi wa kurekebisha. Ni wapi nitapata mafundi wa kunirekebishia plz 0787414707
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom