Laizer Peter
Senior Member
- Feb 19, 2013
- 130
- 24
Habari Jf.
Samahani
kwa wale wanaoishi Mkoa wa Arusha naombeni mnijuze kuhusu ratiba ya uandikishaji majina ya wapiga kura.
Hata mlioko nje ya Arusha kama mna ratiba kamili naomba mnijuze tafadhali nisije nikapitwa na wakati.
Ahsanteni.
Samahani
kwa wale wanaoishi Mkoa wa Arusha naombeni mnijuze kuhusu ratiba ya uandikishaji majina ya wapiga kura.
Hata mlioko nje ya Arusha kama mna ratiba kamili naomba mnijuze tafadhali nisije nikapitwa na wakati.
Ahsanteni.