Ndgu wadau wa jukwaa letu pendwa, naomba mwenye ramani nzuri ya mijengo ya hostels au apartments anisaidie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
ujenzi huchukua pesa nyingi sana ila wengi hawako tayari kupata ushauri sahihi kutoka kwa wataalamu katika eneo husika. nakushauri upate architect akupe consultation namna ya kutimiza ndoto yako na namna ya kutumia pesa yako. otherwise usije jikuta unapata maswali mengi kuliko majibu!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Habar,
Ninauzoefu wa designs kama unazohitaji, baadhi ni hizo nilizo attach.. wasiliana nami tuweze kushauriana..
[emoji338] 0764 661 431
[emoji395] jmconstructioncompany21@gmail View attachment 1307440View attachment 1307441View attachment 1307444View attachment 1307446
Sent using Jamii Forums mobile app
Unadesign kwa bei ganiHabar,
Ninauzoefu wa designs kama unazohitaji, baadhi ni hizo nilizo attach.. wasiliana nami tuweze kushauriana..
[emoji338] 0764 661 431
[emoji395] jmconstructioncompany21@gmail View attachment 1307440View attachment 1307441View attachment 1307444View attachment 1307446
Sent using Jamii Forums mobile app