Tanzania haina system ya post code, huku kuna Post Office Box Number, ila cha kufanya sababu kuna mitanfao inagoma wewe kwenye box weka namba za box ila tatizo mfumo wa Post Code ni kama B8 2yl kwahio jaribu kuweka namba na na maybe some herufi kulingana na p. o. box yako, ila kama kuna option ya kuweka kwamba hakuna post code chagua hiyo