msaada plz NATAKA KUAHIRISHA MWAKA WA MASOMO

msaada plz NATAKA KUAHIRISHA MWAKA WA MASOMO

Wazo la kabwela

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2013
Posts
1,894
Reaction score
1,485
nimechaguliwa chuo sasa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu sitaweza kwenda mwaka huu .
sasa je utaratibu ukoje wa kuahirisha. je? nitatakiwa kufanya regstration chuoni ndo niombe kuahirisha?? vp kuhusu mkopo kama nimepata ni utaratibu gani nifuate ili mwakani wasininyime??
 
unaatakiwa uende chuo ulichopangwa wakupe confirmation letter kuwa huja atend pia uende bodi kutoa taarifa nao wakupe cnfrmtn letter pia co kienyeji unaacha kwenda
 
nimechaguliwa chuo sasa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu sitaweza kwenda mwaka huu .
sasa je utaratibu ukoje wa kuahirisha. je? nitatakiwa kufanya regstration chuoni ndo niombe kuahirisha?? vp kuhusu mkopo kama nimepata ni utaratibu gani nifuate ili mwakani wasininyime??

Kwanini una-ahirisha? toa sababu hapa
 
Mimi navyosikia ni kuwa inabidi uripoti chuo, ujisajili na ulipe at least ada ya semista moja hlf ndio uandike barua ya kuomba kuhairisha mwaka, then Chuo kitakupa barua ya kuhairisha mwaka. Kama kuna mwenye uelewa zaidi ya hapo atafafanua
 
Back
Top Bottom